Kitengo cha Huduma za Sheria
Lengo
Kutoa huduma ya ushauri wa kisheria kwa Tume
Kitengo kitatekeleza majukumu yafuatayo:
- Kutoa msaada wa ushauri wa kisheria kwa Tume.
- Kuratibu na kusimamia utoaji wa huduma za kisheria wakati wa kuandaa na kupitia sheria.
- Kuandaa na kupitia hati za kisheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
- Kutoa uelewa wa masuala ya sheria.
- Kutunza nyaraka zote za kisheria zaTume.
Kitengo hiki kitaongozwa na Meneja.