Tume ya Taifa ya Mipango imekutana na UNFPA leo Dar es Salaam kujadili ushirikiano, matumizi ya takwimu za kidemografia katika mipango ya maendeleo na kuimarisha msaada wa UNFPA kwa Tanzania. UNFPA imetoa pongezi kwa Dkt. Msemwa na kuthibitisha dhamira ya kuendelea kushirikiana.