Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango (NPC), Dkt. Fred Msemwa (kulia) akimkaribisha Mkurugenzi mpya wa Maendeleo wa Ubalozi wa Uingereza nchini, Bi. Anna Wilson alivyotembelea ofisi za NPC jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango(NPC) Dkt. Mursali Milanzi (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa NPC, Wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu(UNFPA) na Waandishi wa Habari wakati wa Semina Elekezi juu ya kubobea )kwenye uandishi wa majukumu ya NPC, ikiwemo DIRA 2050,, iliyofanyika jijini Dar es Salaam, hivi karibuni
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, akiagana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa, mara baada ya kufunga Mkutano wa Mashirika ya Umma (SOEs Conference), leo Agosti 26, 2025, Jijini Arusha.
Tarehe 5 Agosti 2025, Dkt. Blandina Kilama ameongoza kongamano la wadau wa kilimo jijini Dodoma kujadili mchango wa sekta hiyo katika utekelezaji wa DIRA 2050, kuelekea siku ya kilele cha Maonesho ya Nane Nane, likiwa na lengo la kuongeza tija, ushindani na ushirikiano wa wadau wote.
NPC Yatangaza Kukamilika kwa Mpango wa Miaka Mitano Novemba; Serikali Yasisitiza Maboresho ya Sera na Utumishi kwa Utekelezaji wa DIRA 2050
“ DIRA 2050 siyo kazi kwa mazoea!” Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi, Dkt. Moses Kusiluka, ameagiza hayo wakati akifungua Kikao Kazi cha Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kujadili utekelezaji wa DIRA 2050 pamoja na Mpango wa Maendeleo wa Miaka 25 (LTPP).
DIRA 2050
#Tanzania Tuitakayo
DIRA 2050
#Tanzania Tuitakayo
Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa (Kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Huduma wa Mfuko wa Ushirikiano na Udhamini wa Miradi wa Umoja wa Mataifa, Dkt. John Gilroy katika Ofisi za Umoja wa Mataifa, jijini New York.